Yote unayotaka kujua, msimu mpya wa Ligi Kuu
Msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara NBC Premier League 2022-23 utaanza kutimua vumbi rasmi Agosti 15, 2022. Na Ligi itamalizika Mei 27, 2023. Ligi ina jumla ya timu 16 na itachezwa jumla ya michezo 240 kukamilisha msimu.