Yote unayotaka kujua, msimu mpya wa Ligi Kuu

Mchezo wa raundi ya kwanza wa Simba na Yanga Dabi ya Kariakoo utachezwa Oktoba 23, 2022

Msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania bara NBC Premier League 2022-23 utaanza kutimua vumbi rasmi Agosti 15, 2022. Na Ligi itamalizika Mei 27, 2023. Ligi ina jumla ya timu 16 na itachezwa jumla ya michezo 240 kukamilisha msimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS