Wadau kushirikishwa upangaji wa bei ya mifugo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema Serikali ipo kwenye mchakato wa kushirikisha wadau wa sekta ya mifugo kupanga bei elekezi za kuuzia mifugo katika minada ili kuwawezesha wafugaji na  wafanyabiashara kuuza mifugo yao kwa bei ambayo wao watakuwa wameshiriki kuipanga

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS