Dereva wa Lori aliyesababisha ajali Mbeya akamatwa
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya, limemkamata Mukhsin Mgaza mwenye umri wa miaka 24 ambaye ni dereva wa Lori lililosababisha ajali baada ya gari kufeli breki na kugonga mengine manne na kusababisha vifo vya watu 19 na majeruhi 31 eneo la mteremko wa Inyala Pipeline mkoani Mbeya Agosti 16, 2022