Wanafunzi 521 watoroka shuleni Simiyu

Jumla ya wanafunzi 521 wa Shule mbalimbali wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wameripotiwa kukimbia masomo kwa kipindi cha miezi miwili sasa hali ambayo imeilazimu Serikali kutangaza mpango wa dharula wa kukabiliana na tatizo hilo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS