"Fimbo yetu ya mbali inaua Nyoka" - Mwangamilo

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomoni Mwangamilo

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomoni Mwangamilo, amewaonya baadhi ya wamiliki na madereva wa mabasi yaendayo mikoani kuacha mara moja, tabia ya kushabikia mwendokasi kwani umekuwa ndiyo chanzo cha kupoteza maisha ya watu na atakayekamatwa atashughulikiwa kweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS