Akamatwa akichinja mbwa Kagera

Kijana aliyejitambulisha kwa majina ya Amimu Hashimu mkazi wa eneo la Kashai katika manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, amekamatwa akichinja mbwa aliyedai kuagizwa na mtu amchinje halafu ampelekee nyama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS