Kesi nyingi upelelezi umekamilika - IGP Wambura

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, amewahakikishia wananchi na watanzania kuwa, kesi nyingi zilizokuwa zimekwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upelelezi kwa sasa kesi hizo tayari zimekwisha shughulikiwa na mamlaka zinazohusika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS