Mhandisi Kasekenya atoa maagizo TANROADS na TARURA

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi sekta ya Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi sekta ya Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, ameziagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) kuzifanyia kazi kwa wakati taarifa zitakazotolewa na watumiaji wa barabara kupitia mfumo mpya wa kielektroniki

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS