Lukuvi apewa fimbo ya kuwachapua Mawaziri

William Lukuvi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba tayari ameshamkabidhi fimbo Waziri wa zamani wa Ardhi William Lukuvi, kwa ajili ya kuwachapua mawaziri vijana na ndiyo maana wanachapa kazi ipasavyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS