Baba jitu zima lahukumiwa miaka 30 jela kwa kubaka

Marwa Nyamuhanga, aliyehukumiwa miaka 30 jela

Marwa Nyamuhanga (33) mkazi wa Nyabisare Halmashauri ya Manispaa ya Musoma, mkoani Mara amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka saba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS