Serikali kuwekeza zaidi kwenye kilimo na mifugo

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, akifafanua mipango ya Serikali katika kuboresha sekta ya kilimo na utayari wa Wizara ya Fedha na Mipango kushirikiana kwa karibu na Wizara ya Kilimo kufanikisha utekelezaji wa mipango hiyo, alipotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa Uwanja wa John Mwakangale, jijini Mbeya

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Jenifa Omolo, amesema kuwa Serikali imeongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2022/23 kutoka Sh. bilioni 294 hadi Sh. bilioni 954 ili kuwezesha sekta ya kilimo kuwa na tija kwa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS