Dar yaadhimisha siku ya Mashujaa kwa kupanda miti Mkoa wa Dar es salaam leo umeadhimisha siku ya kumbukizi ya mashujaa waliopigania Uhuru wa taifa kwa kufanya usafi wa mazingira na upandaji miti kwenye maeneo mbalimbali ya mkoa huo. Read more about Dar yaadhimisha siku ya Mashujaa kwa kupanda miti