Sopu aipa ushindi Taifa Stars

Abdul Sopu katika akipongezwa na wachezaji wenzake wa Taifa Stars baada ya kufunga goli

Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Somalia kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali za mataifa barani Afrika kwa wachezaji wanaocheza Ligi za ndani CHAN.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS