Majambazi wawili wauawa Kigoma

Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma ACP Menradi Sindano

Majambazi wawili wameuwawa mkoani Kigoma na mwingine kutoweka kusikojulikana baada ya majibizano ya risasi na jeshi la polisi wakati walipojaribu kuvamia soko la Kijiji cha Bukirilo lililopo wilayani Kakonko mkoani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS