Watu 30 wateketea kwa moto Nigeria Moto Mamlaka nchini Nigeria zinasema kwamba takribani watu 30 wameteketea kwa moto na kupoteza maisha huku makumi wengine wakijeruhiwa vibaya katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Kaskazini kwa mji wa Kaduna. Read more about Watu 30 wateketea kwa moto Nigeria