Baridi Njombe, Iringa na Mbeya kufikia 4°C

Ukungu wa baridi

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema kwamba hali ya baridi itaendelea kuwepo ambapo katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya baridi inatarajiwa kufikia viwango vya chini vya nyuzi joto 4°C.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS