Stars kujipima na Sudan Kusini Julai 19, 2022

Taifa Stars

Timu ya Tanzania “Taifa Stars” inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Sudan Kusini mnamo Julai 19 , 2022 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na michezo ya kufuzu kwa fainali za michuano ya CHAN 2023.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS