Stars kujipima na Sudan Kusini Julai 19, 2022
Timu ya Tanzania “Taifa Stars” inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Sudan Kusini mnamo Julai 19 , 2022 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na michezo ya kufuzu kwa fainali za michuano ya CHAN 2023.