Mwalimu auawa Butiama
Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mara kwa tuhuma za kumuua Mwalimu Saidi Hamisi wa shule ya sekondari Masaba iliyopo Kijiji cha Nyasirori wilayani Butiama na kumjeruhi vibaya mdogo wa marehemu huku wakiwaibia simu za uwakala pamoja na kompyuta kompyuta mpakato moja.

