Hospitali yakanusha kukataa kumhudumia mgonjwa

Kaimu Mganga Mkuu wa hospitali ya wilaya ya Kisarawe Dkt. Zaitun Hamza

Hospitali ya wilaya ya Kisarawe imekanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa mgonjwa aitwaye Batholomeo Mapunda mkazi wa Temeke, alifukuzwa na kushindwa kufanyiwa upasuaji hospitalini hapo kwa kukosa shilingi laki mbili na elfu hamsini si za kweli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS