Maombi ya Zumaridi yakosa majibu mahakamani
Maombi ya mshtakiwa Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ya kutokuwa na imani na hakimu anayeendesha kesi namba 10 ya kujeruhi askari na kumzuia afisa ustawi kutekeleza majukumu yake yameshindwa kupata majibu baada ya Hakimu huyo kudai alipata changamoto ya kiafya.