Pombe haifai kwa watu chini ya miaka 40

Kiasi kidogo cha pombe kinaweza kupunguza hatari ya ugonjwa wa moyo na mishipa, kiharusi na kisukari.

Hakuna kiasi cha pombe kinachofaa kwa watu chini ya umri wa miaka 40, hasa kutokana na vifo vinavyotokana na pombe kwa watu chini ya umri huo kwa mujibu wa utafiti mpya wa Chuo Cha Dawa cha Washington.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS