Kampuni za JKT kutoa gawio kwa serikali
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT - Tanzania) Meja Jenerali Rajabu Mabele amesema kampuni tanzu za Jeshi la Kujenga Taifa ikiwepo SUMA - JKT zitaendelea kushiriki katika shughuli za uzalishaji, kutoa huduma kwa jamii na kutoa gawio kwa serikali ili kuchangia katika uchumi wa Taifa.