Waziri Mkuu aagiza wahandisi wapewe kazi nyingine

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekagua daraja la mawe lenye urefu wa mita 30 na upana wa mita saba lililojengwa katika barabara ya Iguguno-Kikhonda hadi Kinampundu wilayani Mkalama na kuwapongeza wahandisi kwa ubunifu na ubora na kuagiza wapewe kazi nyingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS