Zambia, Morocco wafuzu nusu fainali WAFCON 2022.

Wenyeji wa michuano ya WAFCON 2022 Timu ya taifa ya wanawake ya Morocco

Timu ya taifa ya Zambia ya Wanawake imefanikiwa kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano ya AFCON ya Wanawake baada ya ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Senegal kufuatia sare ya bao 1-1 kwenye mivhezo ya kwanza ya mtoano iliyoanza usiku wa Julai 13, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS