Dalili zinazopelekea wananchi kutokwa damu zatajwa

Mganga Mkuu wa serikali Dkt. Aifello Sichwale

Mganga Mkuu wa serikali Dkt. Aifello Sichwale, amesema kwamba dalili wanazoanza kuzipata wananchi hadi kutoka na damu puani ni pamoja na homa, mwili kuchoka na kushindwa kupumua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS