Ndemla asaini Singida Big Stars

Said Ndemla

Aliyekuwa kiungo wa klabu ya Simba sc Said Ndemla ambaye alimalizia msimu akiitumikia klabu ya Mtibwa Sugar kwa mkopo tayari amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga na klabu ya Singida Big Stars ambayo imepanda ligi kuu msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS