Rayvanny aweka wazi kilichomtoa WCB Picha ya Rayvanny kulia, kushoto ni Diamond Platnumz CEO wa Next Level Music Rayvanny ni rasmi sasa ametangaza kuondoka kwenye lebo yake ya WCB ambayo amefanya nayo kazi kwa miaka 6 na kupata mafanikio mengi na kutoa hits kibao. Read more about Rayvanny aweka wazi kilichomtoa WCB