Miradi itokane na makusanyo ya ndani - Majaliwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Innocent Bashungwa (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makala baada ya kuzungumza na watumishi wa wilaya ya Ilala Mkoani Dar es salaam kwenye ukumbi wa Karimjee , Julai 11, 2022.

Waziri Kassim Majaliwa amekutana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam na ya wilaya ya Kinondoni ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza makusanyo ya fedha za ndani yatumike katika ujenzi wa miradi ya maendeleo badala ya kutegemea fedha zinazotoka Serikali Kuu pekee

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS