Rais Rajapaksa athibitisha kujiuzulu Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa Ofisi ya Waziri Mkuu nchini Sri Lanka imesema kwamba Rais wa nchi hiyo Gotabaya Rajapaksa, amethibitisha kwamba atajiuzulu, hiyo ni baada ya maelfu ya waandamanaji kuvamia Ikulu ya Rais huyo. Read more about Rais Rajapaksa athibitisha kujiuzulu