Mohamed Farah sio jina langu- Sir Mo Farah

Jina halisi la Sir Mo Farah ni Hussein Abdi Kahin

Mwanariadha wa Uingereza na mshindi wa Medali 4 za Olimpiki Sir Mo Farah amefichua kuwa aliingia nchini Uingereza kwa njia haramu kinyume na sheria na Jina la Mohamed Farah si jina lake halali alipewa jina hilo wakati anaingia Uingereza na jina lake halisi ni Hussein Abdi Kahin.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS