"Nyumbani abaki mwenye kumbukumbu" - Simbachawene
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu George Simbachawene, ametoa rai kwa wananchi kujiandaa kwa zoezi la sensa ya watu na makazi kwa kuwa na kumbukumbu ya taarifa za watu waliolala katika makazi yako usiku wa kuamkia Oktoba 23, 2022.