CCM yakoleza moto wa katiba mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM , Shaka Hamdu Shaka

Chama cha Mpinduzi (CCM), kimesema kwamba ajenda ya kupata  katiba mpya sio ngeni, bali ni mchakato endelevu na kwamba sasa ni wakati mwafaka wa kuipata ndiyo maana kimeitaka serikali kuja na namna bora ya kufufua mchakato huo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS