Mwaitenda azindua ilani ya miaka 8 Yanga

Mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais Suma Mwaitenda

Kampeni za uchaguzi wa klabu ya Yanga zimeingia siku ya tatu leo na kushuhudia mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais Suma Mwaitenda akizindua ilani yake ya miaka 8 na kuomba kura kwa wanachama wa klabu ya yanga kwenye makao makuu ya klabu hiyo Jangwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS