Polisi Dodoma kutoa matibabu bure

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa Polisi Martin Otieno

Watu zaidi ya elfu 3 wanategemea kupimwa na kupatiwa matibabu katika hospitali ya Jeshi hilo iliyopo mkoani Dodoma kwa kipindi cha siku 3 mfululizo bure ,ikiwa ni vita dhidi ya magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS