Polisi Dodoma kutoa matibabu bure
Watu zaidi ya elfu 3 wanategemea kupimwa na kupatiwa matibabu katika hospitali ya Jeshi hilo iliyopo mkoani Dodoma kwa kipindi cha siku 3 mfululizo bure ,ikiwa ni vita dhidi ya magonjwa ya kuambukiza na yale yasiyo ya kuambukiza