Hii ndiyo wilaya yenye Bei kubwa ya Mafuta

Kyerwa inaongoza kwa bei kubwa ya mafuta

Licha ya serikali kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 ili kupunguza bei ya mafuta nchini Tanzania wakati bei ya soko la dunia ilipopanda, bei za rejareja za mafuta nchini hapa zimepanda tena, ambapo Wilaya yenye gharama kubwa zaidi ya mafuta nchini Tanzania ni Kyerwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS