Akiri kuua watu saba Kigoma kisa wivu wa mapenzi

Mkuu wa oparesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi Tanzania Kamishna Liberatus Sabas

Jeshi la Polisi mkoani Kigoma limethibitisha kumkamata mkazi wa Mlole Manispaa ya Kigoma Ujiji Peter Moris ambaye ni fundi ujenzi akituhumiwa kwa mauaji ya watu saba wa familia moja katika kijiji cha kiganza mkoani Kigoma yaliyotokea usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS