Manara amuomba radhi Rais Karia

Msemaji wa Klabu ya Yanga Haji Sunday Manara

Afisa habari wa Yanga Haji Manara amemuomba msamaha Rais wa TFF Wallace Karia kutokana na tukio lililotokea Jijini Arusha katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid wakati wa mechi ya Fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS