Nauli za Meli ya New MV. Victoria zapanda

Meli ya New MV. Victoria Hapa Kazi Tu

Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kagera, wamelalamikia kupanda kwa nauli za Meli ya New MV. Victoria Hapa Kazi Tu, kutoka shilingi 16,000 hadi 21,000 kwa daraja la tatu, daraja la pili kutoka 30,000 hadi 40,000 na daraja la kwanza kutoka 45,000 hadi 55,000.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS