Daktari mfano wa kuigwa katika jamii
Hedhi salama bado changamoto kwa shule za msingi na sekondari nchini, kwa kutambua hilo Dkt Ibrahimu Ibrahimu wa Hospital ya Sekou Toure, Mwanza leo Julai 3 alifika katika ofisi za East Africa TV na East Africa Radio na kutoa mchango wa taulo za kike pakiti 64.