''Mayele hauzwi kwa gharama yoyote'' Senzo Straika wa Yanga Fiston Mayele Uongozi wa Klabu ya Yanga umethibitisha kuwa nyota wake Fiston Mayele hawezi kuondoka klabuni hapo kwasababu bado ana mkabata mrefu na Mabingwa hao wa Ligi Kuu NBC Tanzania msimu huu wa mwaka 2021-2022. Read more about ''Mayele hauzwi kwa gharama yoyote'' Senzo