Kesi ya Zumaridi yakwama Mahakamani

Kesi namba 12 inayomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wafuasi wake 84 imekwama kuendelea leo katika Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Mwanza kutokana na shahidi kupata changamoto ya kiafya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS