Mbunge ahoji kwanini waliohitimu 2021 wameajiriwa

Mbunge wa Makete Festo Sanga

Mbunge wa Makete Festo Sanga, ameiuliza Ofisi ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, vigezo vilivyotumika kuajiri watu waliohitimua mwaka 2021 na kuwacha wa 2015 licha ya kwamba wapo wengine waliokuwa wanajitolea kwenye ofisi za serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS