Rasmi Tanzania mwenyeji Tuzo za (MAMA) MTV Africa

Waziri Mchengerwa amekutana na Monde Twala Jijini Los Angeles katika jimbo la California nchini Marekani wakati wa hafla ya utoaji tuzo za BET kwa mwaka 2022.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and Peer Lead BET International, Monde Twala, na kukubaliana kushirikiana katika kuiwezesha Tanzania kuwa mwenyeji wa tuzo za MAMA- MTV.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS