Tetesi za usajili, Antony anauzwa Bilioni 200

Antony anauzwa Bilioni 200

Taarifa za usajili barani Ulaya leo Juni 28, 2022. Miongoni mwa taarifa Chelsea inakaribia kumsajili Sterling kutoka Mnchester City, Ajax wataja dau la kumuuza Antony ni pauni milioni 70 na hatma ya Dembele ndani ya Barcelona kujulikana ndani ya masaa 72 yajayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS