Ukame waathiri upatikanaji wa mazao

Wafanyabiashara wa nafaka katika soko la Tandale Dar es Salaam wamesema hali ya bei za nafaka itazidi kupanda juu kutokana na ukame kwa baadhi ya mikoa inayolima mazao ya nafaka ikiwemo Michele, Maharage na mahindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS