"Ifikie wakati kumiliki Ndege isiwe anasa"- Mdee

Mbunge wa Viti Maalum, Halima Mdee

Mbunge wa Viti Maalum Halima Mdee, amesema kwamba ifikie hatua Watanzania waache kufikiria kimaskini jambo ambalo litawafanya waone kwamba mtu kumiliki Ndege isiwe anasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS