Watu sita wafariki kwa ajali Tabora

Gari iliyoua watu sita

Watu sita na wanne kati yao ni wa familia moja wamefariki dunia kwa ajali ya gari ndogo katika eneo la Inala mkoani Tabora, wakati wakitokea Dar es Salaam kuelekea wilaya ya Urambo Tabora katika mazishi ya Mama mzazi wa mmoja wa marehemu hao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS