Majeruhi 6 wa Treni wahamishiwa Bugando

Mabehewa ya abiria yaliyoanguka

Majeruhi 6 kati ya 132 wa ajali ya Treni iliyotokea jana Juni 22, 2022, katika eneo la Malolo mkoani Tabora na kusababisha vifo vya watu wanne wamesafirishwa kwa rufaa kutoka Hospitali ya mkoa wa Tabora  Kitete  kwenda Bugando kwa ajili ya  matibabu zaidi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS