Tetesi za usajili Ulaya, Neymar Jr awekwa sokoni
Taarifa za usajili barani Ulaya leo Alhamisi Juni 23, 2022. Miongoni mwa taarifa Ousmane Dembela anataka kubaki Barcelona, PSG wanampango wakumfuta kazi Pochettino na Neymar huwenda akuuzwa ikija offa nzuri.