Wahamiaji haramu Loliondo kusakwa kwa siku 10

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji nchini Dkt. Anna Makakala

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji nchini Dkt. Anna Makakala, ametangaza kuanza kwa oparesheni maalum ya siku kumi kwa ajili ya kuwasaka wahamiaji haramu katika eneo la Loliondo na Ngorongoro mkoani Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS